1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10 wafa kwa kukanyagwa na gari Toronto.

01:03

This browser does not support the video element.

Lilian Mtono
24 Aprili 2018

Polisi mjini Toronto inamshikilia dereva aliyewauwa watu10 na kujeruhi wengine 15 baada ya kuwagonga kwa makusudi watembea kwa miguu kandoni mwa barabara mjini humo. Dereva huyo Alek Minassian, ni kijana mdogo tu mwenye miaka 25! Papo kwa Papo: 24.04.2018.