1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

47 WAUWAWA MOSUL

11 Machi 2005

MOSUL:

Si chini ya watu 47 wameuwawa katika hujuma ya mtu aliejitoa mhanga katika mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.Hii ni kwa muujibu wa taarifa za wakuu katika hospitali 2 kuu ambako watu hao walipelekwa.Kiasi cha watu wengine 100 wamejeruhiwa .Hujuma hii imetokea wakati waombolezi walipokusanyika katika ukumbi mmoja karibu na msikiti kwa mazishi ya waumini wa madhehebu ya shiia.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW