1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ADIS ABABA: Shirika linalowahudumia wakimbizi la UM limehamisha ...

16 Desemba 2003
watumishi wake kutoka magharibi mwa Ethiopia na mahospitali yamesheheni mno majeruhi.Hii inafuatia ghasia zilizochukua maisha ya watu 30 mwishoni mwa wiki. Ethiopia imeweka huko Gambella,vikosi vyake, kilomita 800 magharibi mwa mji mkuu Adis Ababa. Wanashika zamu kuona amri ya kutotoka nje nyakati za usiku inafuatwa.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW