1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afghanistan: Hofu yawaingia wafanyabiashara wa ususi Kabul

01:54

This browser does not support the video element.

25 Agosti 2021

Wafanyabiashara wa saluni na urembeshaji mjini Kabul, Afghanistan wameanza kufuta picha na kuharibu mabango ya kibiashara yenye nyuso za wanawake wakihofia kundi la Taliban litawaandama. Zamani kundi hilo liliwalazimisha wanawake kuhakikisha sehemu zote za miili yao inafunikwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW