1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afisa Maendeleo ya Jamii anayewasaidia vijana na wanawake

02:53

This browser does not support the video element.

Veronica Natalis
28 Februari 2024

Ester James Sulemani ni afisa maendeleo ya jamii huko Geita, eneo la kanda ya ziwa nchini Tanzania. Anatumia nafasi yake kuwafikia vijana na wanawake kuwasaidia kutatua changamoto za maisha zinazowakabili. Anashirikiana pia na mashirika ya hisani kutimiza malengo hayo. Tizama juhudi zake kupitia Kurunzi Wanawake.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Picha: Fathiya Bayusuf/DWPicha: Fathiya Bayusuf/DW

Kurunzi Wanawake

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW