1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Kusini yazindua chanjo ya majaribio ya UKIMWI.

01:48

This browser does not support the video element.

1 Desemba 2016

Ripoti yaeleza kuwa huenda ndege iliyoanguka Colombia iliishiwa mafuta, Seneti nchini Colombia limepitisha kwa kauli moja mkataba wa amani nchini humo na Afrika Kusini yazindua chanjo ya majaribio ya UKIMWI.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW