Afrika yapoteza utamaduni wa kufanya mazungumzo?
23 Julai 2012Matangazo
Eric Ponda anazungumzia utamaduni unaojuilikana kwa jina la Dhome, katika pwani ya Kenya, ambao huwakutanisha wazee pamoja kwa mijanili ya kutatua migogoro kwenye jamii. Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mtayarishaji: Eric Ponda
Mhariri: Josephat Charo