1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

AI: Jeshi Nigeria liliwabaka wanawake

01:11

This browser does not support the video element.

Bruce Amani
24 Mei 2018

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeitaka Nigeria kuyashughulikia madai kwamba wanajeshi na baadhi ya wanamgambo; wamewabaka wanawake na wasichana katika kambi za wakimbizi wa machafuko yanayosababishwa na uasi wa Boko Haram

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW