Huko nchini Afrika Kusini kumetokea ajali ya mgodi ambapo wachimba migodi 3,200 walikwama tangu chini ya mgodi wa dhahabu wa Hamony-ellandsrand katika kijiji cha Kaltonville kuanzia jana jioni. Imearifiwa shughuli ya uokoaji inaendelea katika mgodi huo.
Wachimbaji migodi wa Afrika Kusini.Picha: AP
Matangazo
Kutaka kujua hali ya mambo kuhusu ajali hiyo, Saumu Mwasimba amezungumza na mwandishi habari aliyeko Afrika Kusini Anderson Kalu.