Ajali ya Ndege ya shirika la Kenya Airways nchini Kamerun
7 Mei 2007
Serikali ya Kamerun imetoa taarifa kwamba ndege ya shirika la Kenya iliyotoweka jumamosi alfajiri imepatikana kwenye msitu wa kusini mashariki mwa mji wa Douala.
Matangazo
Zainab Aziz amezungumza na waziri wa uchukuzi wa Kenya Chirau Ali Mwakwere ambaye anaongoza ujumbe wa Kenya nchini Kamerun.
Mheshimiwa Mwakwere anaelezea ni yepi yaliyofikiwa hadi sasa.