Ajali ya treni nchini Kongo
3 Agosti 2007Matangazo
Kwa mujibu wa Waziri wa Habari wa kongo,Toussant Tshilombo,zaidi ya watu 200 vile vile wamejeruhiwa.
Ajali hiyo imetokea kama kilomita 200 kaskazini-magharibi ya Kananga,ulio mji mkuu wa Wilaya ya Kasai ya Magharibi.
Vikosi vya amani vya Umoja wa Mataifa viliopo nchini Kongo,vimepeleka helikopta na matabibu katika eneo la ajali,kuwasaidia maafisa na wanajeshi wa Kongo katika kazi za uokozi.