1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Al-Shabaab waua 12 Mandera, Kenya

01:50

This browser does not support the video element.

25 Oktoba 2016

Watu 12 wameuliwa kwenye nyumba ya kulala wageni katika shambulio la al-Shabaab huko Mandera, Kenya, Dola la Kiislamu limewaua watu wasiopungua 60 katika chuo cha polisi Pakistan, wakimbizi wachoma ofisi ya kuombea hifadhi Ugiriki kupinga hali duni kwenye kambi zao na wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wapinga uwepo wa kikosi cha kulinda usalama cha Umoja wa Mataifa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW