1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Al-Shabaab yashambulia AMISOM

Sudi Mnette9 Juni 2016

Al-Shabaab imesema imewaua wanajeshi 43 katika shambulio dhidi ya kituo cha wanajeshi wa Ethiopia wanaohudumu katika ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini humo - AMISOM.

Wapiganaji wa Al-Shabaab
Picha: picture alliance/AP Photo/M. Sheikh Nor

[No title]

This browser does not support the audio element.

AMISOM nayo inasema imewauwa wapiganaji wa kundi hilo kiasi ya 110 wa kundi hilo. Kutoka mjini Mogadishu DW imezungumza na mwandishi habari Hussein Aweis na kwanza ameulizwa nilitaka kujua kwanini kunakuwa na taarifa tata?
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW