1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Alfonso Dhlakama wa Msumbiji aaga dunia

01:28

This browser does not support the video element.

4 Mei 2018

Kiongozi wa zamani wa waasi na kiongozi wa upinzani wa muda mrefu nchini Msumbiji Alfonso Dhlakama ameaga dunia. Dhlakama amefariki akiwa na umri wa miaka 65 kutokana na kile vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa ni mshtuko wa moyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW