1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Angola yawafukuza wahamiaji wa DRC

01:45

This browser does not support the video element.

23 Oktoba 2018

Wahamiaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo waliokuwa wamehamia nchini Angola kwa muda, wamekuwa wkaifukuzwa na serikali ya nchi hiyo inayosema kwamba wahamiaji hao wanazimaliza raslimali za nchi hiyo na kuleta janga nchini humo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW