Ziwa Tanganyika lakumbwa na athari za kimazingira
1 Februari 2017![Wavuvi katika Ziwa Tanganyika](https://static.dw.com/image/18909883_800.webp)
Matangazo
Hayo ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la kutunza mazingira la Global Nature Fund, GNF. Sudi Mnette amezungumza na Professor Pius Nyanda kutoka Dar es Salaam ambaye ametoa ufafanuzi zaidi.