1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Athari za matumizi mabaya ya dawa

04:05

This browser does not support the video element.

31 Januari 2022

Matumizi ya dawa yasiyo sahihi yanaongezeka kwa kasi nchini Tanzania kutokana na sababu mbalimbali, huku makundi matatu yakishutumiwa kwa ongezeko hilo. Makundi hayo ni ya vijana, wafanyakazi na wanawake. Ongezeko jengine linatokana na uwepo wa virusi vya corona.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW