Athari za mila kwa afya ya mwanamke
10 Februari 2014![Ukeketaji ni moja ya mila zinazoiathiri vibaya afya ya msichana.](https://static.dw.com/image/2358304_800.webp)
Matangazo
Katika makala haya ya Afya Yako, Amina Abubakar anaangalia baadhi ya vitendo vilivyomo kwenye mila na desturi za jamii za Kiafrika ambazo zimekuwa zikichangia katika kuzorotesha afya ya msichana.
Kusikiliza makala haya, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Mohammed Khelef