1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Athari za ukame Kenya

01:27

This browser does not support the video element.

20 Oktoba 2017

Kulingana na mashirika ya kutoa misaada Afrika mashariki, takriban watu milioni 20 wanakabiliwa na njaa. Japo Kenya inayo nguvu kubwa kiuchumi katika kanda hiyo, pia inakumbwa na athari za ukame. Mzozo huo umekuwa mbaya zaidi kufuatia siasa ya ufisadi na misururu ya sera ambazo zimefeli.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW