Baada ya Durban, dunia itarajie nini?
28 Desemba 2011![Alama ya mkutano wa Durban](https://static.dw.com/image/15593991_800.webp)
Matangazo
Sudi Mnette anauhakiki mkutano wa mazingira uliondaliwa na Umoja wa Mataifa na kufanyika Afrika Kusini mwishoni mwa mwaka 2011, akijaribu kuangalia hatua zinazofuatia baada ya mkutano wenyewe.
Makala: Baada ya Durban, dunia itarajie nini?
Mtayarishaji: Sudi Mnette
Mhariri: Othman Miraji