1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baadhi ya Wamaasai wakumbatia biashara

02:45

This browser does not support the video element.

4 Juni 2021

Kwa zaidi ya karne moja jamii ya Wamaasai imekulia katika mila ya ufugaji wa wanyama lakini kwa Tanzania jamii hiyo imeanza kubadilisha maisha yao ya asili na kujihusisha na uchuuzi na biashara, kuishi maisha nje ya wafugaji, kwa sababu ya utandawazi, ulimwengu mabadiliko na mwingiliano wa kibinadamu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW