Baba Mtakatifu Benedict wa 16.
26 Oktoba 2008Matangazo
Vatican City.
Baba Mtakatifu Benedict wa 16 atazitembelea Cemeroon na Angola katika ziara yake ya kwanza barani Afrika tokea awe mkuu wa kanisa katoliki mwaka 2005
Baba Mtakatifu amesema akiwa nchini Cameroon atawasilisha matokeo ya mkutano wa baraza la maaskofu uliojadili Afrika na nchini Angola atashiriki katika maadhimisho ya miaka 500 ya injili nchini humo.