1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bado albino hayuko salama Tanzania

Amina Abubakar5 Machi 2015

Mkuu wa kituo kinachowahifadhi watoto wenye ulemavu wa ngozi Shinyanga, Tanzania, Mwalimu Peter Ajali, anasema Tanzania bado si salama kwa watu hao licha ya jitihada kubwa kufanyika.

Mwalimu Peter Ajali, mkuu wa kituo kinachowahifadhi watoto wenye ulemavu wa ngozi Shinyanga, Tanzania "Buhangija Center"
Picha: Ajali

Kusikiliza mahojiano kati ya Amina Abubakar na Mwalimu Peter Ajali, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Mohammed Khelef

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Onesha taarifa zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW