1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Uhuru wa vyombo vya habariUjerumani

Baerbock atahadharisha juu ya matumizi ya akili ya kubuni AI

18 Juni 2024

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ametahadharisha juu ya matumizi mabaya ya akili ya kubuni AI na jinsi teknolojia hiyo inavyoweza kutumiwa kuleta migawanyiko na kuongeza viwango vya ukosefu wa usawa.

GMF 2024 l Keynote von Annalena Baerbock
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock Picha: Björn Kietzmann

Kongamano la Kimataifa la Vyombo vya Habari linaloandaliwa na Deutsche Welle (GMF) linaingia siku yake ya pili na ya mwisho hii leo.

Akihutubia kongamano hilo, Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ametahadharisha juu ya matumizi mabaya ya akili ya kubuni AI na jinsi teknolojia hiyo inavyoweza kutumiwa kuleta migawanyiko na kuongeza viwango vya ukosefu wa usawa.

Soma pia: Waziri wa Ujerumani Baerbock ziarani Ukraine 

Kongamano hilo limekutanisha waandishi na wadau wa habari takriban 1,500 kutoka zaidi ya mataifa 100 ulimwenguni kote ili kujadiliana kuhusu njia za kujenga misingi imara ya uandishi katika nyakati ngumu.

 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW