1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Kiongozi wa tawi la Al-Qaeda auawa nchini Irak

2 Novemba 2006

Jeshi la Marekani limesema kuwa limemuua kiongozi wa tawi la mtandao wa kigaidi Al Qaeda nchini Irak.Kwa mujibu wa wakuu wa kijeshi wa Kimarekani mwanamgambo huyo ni Abu Taha.Inadhaniwa kuwa Taha aliwapenyeza Iraq wapiganaji wa kigeni.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW