1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Kiongozi wa tawi la Al-Qaeda huenda ikawa amejeruhiwa

16 Februari 2007

Wizara ya mambo ya ndani ya Irak imenukuliwa ikisema kuwa kiongozi wa tawi la Al-Qaeda nchini Irak,Abu Ayyub al-Masri,amejeruhiwa katika mapigano na vikosi vya Kiiraki.Inasemekana kuwa mshauri wake mmoja aliuawa katika mapigano hayo, kaskazini mwa mji mkuu Baghdad.Al-Masri alie mzaliwa wa Misri,alishika uongozi wa tawi hilo la Al-Qaeda,baada ya mwanamgambo wa Kijordan Abu-Musab al-Zarqawi kuuawa Juni mwaka jana,katika shambulio la angani la Marekani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW