1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Operesheni kubwa dhidi ya washukiwa wa al-Qaeda nchini Iraq

19 Juni 2007
Majeshi ya Marekani nchini Iraq,yamefanya mashambulio makali dhidi ya wanamgambo wanaotuhumiwa kuhusika na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda.Ripoti zinasema,kama wanajeshi 10,000 wa Kimarekani na Kiiraqi wanashiriki katika operehseni hiyo,ndani na ukingoni mwa mji wa Baguba uliokumbwa na machafuko.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW