1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Polisi wauawa nchini Irak

12 Septemba 2007

Askaripolisi 6 wa Kiiraki wameuawa kusini mwa Mosul,baada ya kituo chao cha ukaguzi kuvamiwa na washambulizi Jumanne usiku.Katika shambulizi jingine katika mji mkuu Baghdad,raia mmoja aliuawa na wengine 5 walijeruhiwa baada ya bomu lililotegwa kando ya barabara,kuripuka karibu na msafara wa magari ya maafisa wa ulinzi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW