1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Shambulizi la bomu Irak limeua watu 6

16 Oktoba 2007

Hadi watu 6 wameuawa mjini Baghdad katika shambulizi la bomu lililotegwa ndani ya gari. Wengine 25 pia wamejeruhiwa katika shambulizi hilo ambalo lililenga wanajeshi waliokuwa wakipiga doria.Wanajeshi 2 wa Kiiraki ni miongoni mwa wale waliouawa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW