JamiiAfrika Kusini
Balozi wa Afrika Kusini aliyekutwa amekufa aliacha ujumbe
1 Oktoba 2025
Matangazo
Mwili wa Balozi Nkosinathi Emmanuel Mthethwa iligunduliwa na mlinzi jana asubuhi kwenye ua wa ndani wa hoteli hiyo magharibi mwa Paris, alikokodisha chumba kwenye ghorofa ya 22.
Jumatatu jioni mkewe aliwaarifu polisi kwamba hajui mumewe aliko baada ya kupokea ujumbe ambao alimuomba msamaha na kumuelezea nia yake ya kujiua.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa balozi huyo alinuia kuchukua hatua hiyo na hakusaidiwa na yoyote.