Mgogoro ndani ya chama cha wananchi CUF umechukua sura mpya baada ya kikao cha baraza kuu la uongozi wa taifa wa chama hicho kumfuta kabisa uanachama aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Ibrahim Lipumba.
Ibrahim Lipumba, aliyekuwa mwenyekiti wa CUFPicha: DW/M.Khelef