Rais Adama Barrow wa Gambia ameshinda uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi, ambapo amepata asilimia 53 ya kura, huku mshindani wake wa karibu, Ousainou Darboe, akipata asilimia 28. Kurunzi 06.12.2021