1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Barrow ashinda muhula wa pili

01:41

This browser does not support the video element.

6 Desemba 2021

Rais Adama Barrow wa Gambia ameshinda uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi, ambapo amepata asilimia 53 ya kura, huku mshindani wake wa karibu, Ousainou Darboe, akipata asilimia 28. Kurunzi 06.12.2021

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW