1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bashir atemebelea Burundi

5 Novemba 2007

Rais wa Sudan Omar al Bashir amekamilisha ziara ya siku tatu nchini Burundi ambako alitembelea mitaa mbalimbali ya mji wa Bujumbura.

Hii ni mara ya kwanza kwa kiongozi huyo wa Sudan kufanya ziara nchini humo. Ziara hiyo ililenga kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW