1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bayern Munich yajihakikishia ubingwa wa kandanda

1 Mei 2005

Bayern Munich imejihakikishia ushindi kama timu bingwa ya Ujerumani baada ya kuikandika Kaiserslautern mabao 4-0.Nafasi hiyo imeimarishwa pia baada ya timu ya Schalke inayoshika nafasi ya pili,kwenda sare na Bayer Leverkusen kwa magoli 3 ilipocheza nyumbani.Bayern Munich sasa inaongoza kwa pointi 11 huku michezo 3 ikibakia kuchezwa katika Ligi ya Ujerumani yaani Bundesliga.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW