1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Beirut. Tanki la gesi lalipuka katika kampuni ya mikate.

24 Desemba 2006
Waziri wa nje wa Uingereza huko Sham el Sheikh
Waziri wa nje wa Uingereza huko Sham el SheikhPicha: AP

Mlipuko umetokea karibu na chuo kikuu cha Marekani mjini Beirut mapema leo, kituo cha televisheni cha Al-Jazeera kimeripoti, wakati polisi wa Lebanon wamesema mlipuko huo umetokea katika kampuni ya kuoka mikate.

Kwa mujibu wa duru za polisi nchini Lebanon , mlipuko huo , ama sauti ya mlipuko , ulitokea katika kampuni ya kuoka mikate karibu na viwanja vya chuo kikuu.

Polisi wamesema hakuna taarifa za kuumia kwa watu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW