1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BEIRUT:wanajeshi wauawa Lebanon

20 Agosti 2007

Wanajeshi wawili wameuawa katika mapigano yaliyotokea kwenye kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared kaskazini mwa Lebanon.

Askari 138 wa Lebanon wameshauawa tokea mapigano baina yao na wanaitikadi kali hao yaanze mnamo mwezi mei.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW