1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BELFAST Uingereza kupunguza majeshi

2 Agosti 2005

Uingereza inakusudia kupunguza nusu ya majeshi yake katika Ireland ya Kaskazini kufuatia uamuzi wa kundi la IRA la nchi hiyo wa kuweka silaha chini.

Waziri anayeshughulikia suala la Ireland ya Kaskazini bwana Peter Hain amesema lengo ni kupunguza majeshi ya Uingereza yaliyopo nchini humo hadi kufia alfu tano kutoka alfu kumi na moja.

Pamoja na hayo Uingereza inakusudia kuondoa sheria kadhaa zilizowekwa, mahususi, ili kupambana na ugaidi katika katika Ireland ya Kaskazini.

I

.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW