1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bendi ya wanawake pekee Dar es Salaam

02:31

This browser does not support the video element.

3 Novemba 2021

Bendi ya wanawake Bahati huwajumuisha wanawake 15. Wenyewe ndio huimba, hupiga ala za muziki ikiwemo gitaa, na kusakata rumba wanapotumbuiza katika kumbi mbalimbali ndasni na nje ya nchi. Wanasema lengo lao ni kukuza vipaji vya wanawake na wasichana wengine. #KurunziWanawake

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW