1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Bundestag yaidhinisha mswada kupunguza kodi ya pato

25 Mei 2007

Bunge la Ujerumani(Bundestag)limepitisha mswada unaopendekeza kupunguza kodi ya pato ya makampuni kutoka asilimia 39 hadi asilimia 30.Jamii ya wafanyabiashara ina matumaini kuwa hatua hiyo itavutia Ujerumani uwekezaji zaidi wa kigeni. Ujerumani ni nchi inayotoza kodi kubwa kabisa barani Ulaya.Mswada huo ukipitishwa na baraza la mabunge ya mikoa(Bundesrat),basi sheria itaanza kutumika mapema mwakani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW