1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Bunge la Ujerumani laidhinisha ndege zipelekwe Afghanistan

9 Machi 2007

Bunge la Ujerumani, Bundestag, limeidhinisha uamuzi wa serikali wa kutuma ndege sita aina ya tornado kwenda nchini Afghanistan na kuongeza wanajeshi 500 zaidi nchini humo.

Mpango huo ulikosolewa vikali na wanasiasa wa upinzani.

Ndege za tornado zitatumiwa kupigia picha maeneo wanakojifidha waasi wa Taliban na kuliwezesha jeshi la ISAF linaloongozwa na shirika la kujihami la kambi ya magharibi NATO kupanga operesheni zake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW