1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Ujerumani kubana matumizi

16 Oktoba 2005

Waziri wa fedha mteule wa Ujerumani bwana Peer Steinbrück amesema Ujerumani inapaswa kuendesha sera ya kubana matumizi ili kurekebisha bajeti .

Bwana Steinbrküc ameeleza katika mahojiano ya gazeti kwamba,ili kuleta utengemavu katika bajeti kuanzia mwaka 2007, Ujerumani lazima upunguze matumizi kiasi cha Euro bilioni 14 na nusu kila mwaka.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW