1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN : Ujerumani yavunja rekodi ya biashara ya kigeni

9 Februari 2007

Kuongezeka kwa usafirishaji wa bidhaa nchi za nje kwa Ujerumani kwa mwaka 2006 kumeweka rekodi ya biashara ya kigeni ya ziada ya uero bilioni 162.

Usafirishaji huo wa bidhaa nchi za nje umeongezeka kwa asilimia 13 na kufikia euro bilioni 894 na hiyo kuifanya Ujerumani iendelee kushikilia dhima yake ya kuwa msafirishaji mkubwa duniani wa bidhaa nchi za nje kwa mwaka wa nne mfululizo.

Uagizaji wa bidhaa zinazoingia Ujerumani umefikia euro bilioni 713 ikiwa ni ongezeko la asilimia 16 kwa mwaka 2005.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW