1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN Vitambulisho vipya kutolewa Ujerumani

23 Juni 2005

Ujerumani imetangaza uamuzi wa kuanzisha kutoa vitambulisho vipya kaunzia mwezi Novemba mwaka huu. Tangazo hilo linafuatia pendekezo lililotolewa na waziri wa mambo ya ndani wa Ujerumani bwana Otto Schilly. Serikali inataraji kuboresha usalama na kukomesha udanganyifu. Gharama yake itakuwa euro 59, ikiwa ni mara mbili ya bei ya vitambulisho vya zamani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW