1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Wajerumani 2 wametekwa nyara Afghanistan

19 Julai 2007

Raia 2 wa Kijerumani wametekwa nyara nchini Afghanistan.Kwa mujibu wa polisi watu hao walikuwa wakifanyia kazi mradi wa kujenga bwawa katikati ya Afghanistan.Polisi imesema,hadi hivi sasa haikuwasiliana na wateka nyara wa Wajerumani hao wawili.Kwa mujibu wa msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani,ubalozi wa Ujerumani katika mji mkuu wa Afghanistan,Kabul na wahusika wengine wanakusanya habari ili wajue zaidi kuhusu tukio hilo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW