1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Wajerumani wakumbuka siku ya maafa kwa wayahudi

10 Novemba 2005

Mihadhara kadhaa ilifanyika jana hapa nchini Ujerumani kuadhimisha tarehe 9 novemba, siku ambapo mnamo mwaka 1938 mafashisti waliyachoma moto masinagogi ya wayahudi nchini Ujerumani na Austria pamoja na kuwapeleka kwa nguvu wayahudi hao katika kambi za mateso.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW