1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN.Uchumi wa Ujerumani kustawi

22 Aprili 2007

Serikali ya Ujerumani imesema kuwa uchumi wa nchi unatarajiwa kustawi kwa asilimia 2 nukta 4 mwaka huu.

Waziri wa uchumi bwana Michael Glos ameeleza hayo. Hapo awali kulikuwa na utabiri wa asilimia 1 nukta saba katika ustawi wa uchumi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW