1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Besigye: Tuna ushahidi kwamba tulishinda

Elizabeth Shoo12 Aprili 2016

Kiongozi wa upinzani Uganda, Kizza Besigye, amekutana na wanachama wenzake baada ya kuwa kwenye kifungo cha nyumbani kwa siku 55. Katika mahojiano na DW amesema yeye ndiye mshindi wa uchaguzi mkuu.

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye
Picha: DW

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW