JamiiBiashara haramu ya Punda Afrika Mashariki02:32This browser does not support the video element.JamiiSudi Mnette02.03.20222 Machi 2022Punda ni mnyama ambae kwa kiwango kikubwa anatumika kwa usafirishaji wa mizigo. Lakini katika kipindi cha siku za hivi karibuni kwa kiasi kikubwa amekuwa kitoweo. Thelma Mwadzaya wa Nairobi Kenya anamtazama mnyama huyo na hali yake kwa sasa.Nakili kiunganishiMatangazo