1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Historia

Bibi Titi Mohamed: "Mama wa Taifa" Tanzania

02:03

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
28 Februari 2020

Tanganyika ilipopata uhuru, Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyesifiwa na kupewa jina la baba wa taifa. Lakini bila ya Bibi Titi Mohamed, asingekuwa na ushawishi wa kutosha wa kufanikiwa kuikomboa nchi hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW