HistoriaBibi Titi Mohamed: "Mama wa Taifa" Tanzania02:03This browser does not support the video element.HistoriaYusra Buwayhid28.02.202028 Februari 2020Tanganyika ilipopata uhuru, Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyesifiwa na kupewa jina la baba wa taifa. Lakini bila ya Bibi Titi Mohamed, asingekuwa na ushawishi wa kutosha wa kufanikiwa kuikomboa nchi hiyo.Nakili kiunganishiMatangazo