SiasaKimataifaBiden na Xi washinikiza ushirikiano katika mkutano wao Bali02:01This browser does not support the video element.SiasaKimataifa14.11.202214 Novemba 2022Kiongozi wa China Xi Jinping na Rais wa Marekani Joe Biden wamekutana leo kwa mazungumzo yaliyosubiriwa kwa muda mrefu wakati ambapo mahusiano kati ya nchi zao ni mabaya zaidi katika kipindi cha miongo kadhaa. Nakili kiunganishiMatangazo